Search
Now showing items 1-10 of 14
A Linguistic study of kiswahili proverbs with attempt at its classification
(2002)
Kiswahili is one of the African languages with very large numbers of proverbs. Its proverbs are among the earliest and most-widely studied by scholars. However, the researches on the genre have almost centred on its ...
Uchanganuzi wa jinsi ngano Zinavyopitisha elimu ya kazi kwa vijana; mfano wa jamii ya Wanyankole nchini Uganda.
(2015)
IKISIRI
Utafiti huu unahusu ngano za Wanyankole wanaoishi magharibi mwa Uganda. Ngano za Wanyankole zina kazi mhimu sana kwa vile hufunza vijana kuhusu kazi. Kazi hizo hupitishwa kwa vijana wa Kinyankole kupitia ngano. ...
Uchanganuzi wa mofofonimiki wa Lahaja ya Kimakunduchi Julai
(2015)
IKISIRI
Utafiti huu ulichanganua mofofonimiki ya lahaja ya Kimakunduchi. Licha ya kuwepo tafiti mbalimbali zilizofanywa juu ya lahaja ya Kimakunduchi, mtafiti hakuona utafiti wowote uliofanywa kuchanganua mofofonimiki ...
Effect of cooperative learning on learners’ English grammar Proficiency in secondary schools in Wuro Juli district, Gombe, Nigeria
(2014)
The purpose of this study was to examine the effect of cooperative learning on students, English grammar proficiency in Wuro Juli district. Four research hypotheses guided the study: HO1 cooperative learning has no significant ...
Uchanganuzi wa kimofosintaksia wa sentensi za kitooro kwa Mkabala wa Nadharia ya Umilikifu na Unganifu t.
(2014)
ABSTRACT
This research has dwelt on A morphosyntactic analysis of Rutooro sentences from the perspective of the government and binding theory. A review of Rutooro literature has shown that a lot of writings on Rutooro ...
Uchanganuzi wa mikakati wanayoitumia mapapasi katika kujifunza lugha ya pili mji mkongwe Zanzibar
(2015)
Mapapasi ni watu wenyekumudu kuzungumza lugha mbalimbali za kigeni na kuweza kuzitumia kuwaongoza wageni, hata hivyo mikakati wanayoitumia katika kujifunza lugha hizo bado hazijatambulikana hivyo utafiti huu ulikuwa na ...
Ulinganishi wa kimuundo baina ya ushairi wa Kiswahili na kiarabu katika diwani ya Shaaban Robert na diwani ya Abdul-Aziz Muhammad
(2016)
This is a comperative study of the structure of Kiswahili and Arabic Poems from the Anthology of Shaaban and Abdul-Aziz. A review of related literature revealed that no study has been made on comparing ...
Nyimbo za tohara na majukumu ya Mwanamume na Mwanamke katika jamii ya Wagisu, Uganda.
(2016)
ABSTRACT
In oral literature songs are very important in communicating cultural values, traditional norms and
societal ideas. It has been claimed that songs allocate different roles and responsibilities to men
and women. ...
Uchanganuzi Wa Athari Za Kigisu Katika Lugha Ya Mazungumzo Kwa Kiswahili, Miongoni Mwa Wanafunzi Wa Shule Za Upili: Mfano Wa Wilaya Ya Mbale, Nchini Uganda.
(2014)
The topic deals with the influence of the first language on the learning of a second language. It analyses the influence of Kigisu language on the Proficiency of communicative Kiswahili as a second language, among the ...
Uchanganuzi wa methali za kiswahili kwa mkabala Wa kitendo neni katika kijiji cha kidoti .
(2015)
IKISIRI
Utafiti huu umechunguza methali za Kiswahili zinazojitokeza katika muktadha wa mazungumzo katika kijiji cha Kidoti Kaskazini Unguja. Mapitio ya maandishi yalidhihirisha kuwa methali za Kiswahili hazikuchunguzwa ...